Monday, February 23, 2015

French aircraft carrier begins operations against Islamic State

A French Navy Rafale fighter jet sits on the deck of the aircraft carrier Charles de Gaulle.
A French Navy Rafale fighter jet sits on the deck of the aircraft carrier Charles de Gaulle. Photo: Patrick Baz

France's Charles de Gaulle aircraft carrier has started military operations against Islamic State in Iraq, a French army source said on Monday.
France deployed the aircraft carrier in the Gulf as part of the US-led military campaign, a Defence Ministry official said.

get more news BBC

Wednesday, July 9, 2014

Kilicho jili kati ya Brazil na Ujerumani hiki hapa

20140709-014045-6045392.jpg

Michuano ya kombe la dunia leo imechukua sura nyingine kabisa baada ya mchezo wa kwanza wa nusu fainali kati ya wenyeji Brazil dhidi ya Ujerumani.
Kwenye mchezo uliopigwa kwenye dimba la Belo Horizonte – Ujerumani wameweka historia ya mbili kubwa – kutinga fainali ya 8 ya kombe la dunia – hii ni mara nyingi kuliko timu zote duniani, pili kuifunga Brazil nyumbani kwao ikiwa ni mara ya kwanza kwa Brazil kupoteza mechi ya ushindani kwenye ardhi yao tangu mwaka 1975.
Magoli ya Ujerumani yalifungwa na Muller, Toni Kroos mawili, Sami Khedira, Ander Schurrle nae akafunga mawili huku Oscar akiifungia Brazil goli moja la kufutia machozi katika mechi iliyoishwa kwa ushindi wa 7-1.
Ujerumani sasa anamsubiri mshindi wa kati ya Argentina vs Uholanzi hapo kesho ili kupata kujua mpinzani wake wa fainali itakayopigwa jumapili hii.
get more Millard Ayo.com

Friday, February 21, 2014

Now you know why Facebook bought Whatsapp

Kampuni ya Facebook imenunua kampuni ya Whatsapp kwa malipo ya thamani ya dola bilioni 16.

Hata hivyo kununuliwa huko kwa Whatapp hakumaanishi kuwa Whatapp itaacha kufanya kazi, bali kampuni ya Facebook na Whatsapp zimesisitiza kuwa huduma itaendelea kubaki kama kawaida.
Kinachotokea ni kuwa wafanyakazi wa Whatsapp wanakuwa wafanyakazi wa Facebook na huduma hiyo ya Whatsapp itatambulika kuwa ni mali ya Facebook.
Watalaamu wa biashara toka Forbes.com wanadadisi kuwa hii ni moja ya mbinu ya Facebook kuua ushindani wa mitandao mingine ya kijamii ambayo inaonekana kuwa tishio kwani Facebook ina watu wenye akaunti takriban bilioni 1.2 wakati Whatsapp ina watumiaji karibu nusu bilioni, na imekuwa ikikua kwa kasi siku hadi siku.
--Kumbuka kuwa Facebook ilinunua huduma ya INSTAGRAM kwa dola za kimarekani bilioni 1, wakati huo INSTAGRAM ndio imepamba moto kweli kweli.
--Lingine la kukumbuka ni kuwa INSTAGRAM ilinunuliwa wakati ndio kwanza ina miezi 18 toka ianzishwe, wakati Whatsapp yenyewe imenunulia ikiwa na miaka 5 toka ianzishwe. Yaani huduma zote hizi zilikuja baada ya FB kuanzishwa ila zimekuwa tishio kwa FB.
--Habari hii imeripotiwa na vyombo vya habari vya BBC, CNN, Business Insider, Blomberg na Facebook wenyewe.

Sunday, October 6, 2013