Ephraim Kibonde.
Na Luqman Maloto
UCHAKUBIMBI ni tabia, ikiendekezwa inaweza kuwa ugonjwa wa
kudumu. Ukizoea sana kuwa mropokaji, kushabikia mambo yasiyo na faida,
halafu vitu vya msingi vyenye sura ya maendeleo ukavipa kisogo, hayo ni
maradhi mabaya. Yanaingia mpaka akilini. Huo ni uchakubimbi.
Asili ya chakubimbi ni kusema uongo bila kipimo, hana rafiki,
anamfitinisha kila aliye karibu naye. Sifa yake nyingine ni kizabizabina
anayezungumza na kusherehesha mambo hata asiyoyajua. Anawachukia walio
mbali naye, anawafanyia husuda hata waliopo…
No comments:
Post a Comment