![]() |
| Mapacha |
Watoto Mapacha wanne wanaofanana kiasi cha mzazi wao kuwachanganya akaona isiwe taabu huyoo kwa kinyozi weka staili ya namba kichwani unafanya masiara na Mama wewe.Hiyo ni baada ya kufikisha miaka 6 hivyo wanatakiwa kwenda Shule nao wamefanana mno. Baada ya hapo ni mwendo wa kuwaita kwa namba kama unavyowatambua wachezaji uwanjani

No comments:
Post a Comment