Eneo la kituo cha kipekee hapa Tanzania ndo kitatokea kati ya Magomeni, na kuendelea
Ujenzi uukiendelea kwa speed
Ujenzi ukiwa unaendelea kwa vifaa vya kisasa chini ya mkandarasi STRABAG- DAR RAPID TRASINT
Hii picha itakayovyokuwa dar hivi karibuni ujenzi utakavyokwisha
Mh: Magufuli akionyesha kwa furaha hali itakavyo kuwa mji wa dar kwa njia thabiti za kunusuru ndo za watu na imani inayoanza kutoweka kisa foleni
Foleni kama hizi zitakoma kwa utatuzi wa kuwa na barabra bora na za kisasa, pia itakuwa tiba kwa wachelewaji wa makazini na maeneo mengine.
Ili kupunguza foleni kuvunjiana heshima kisa usafiri... matusi kati ya konda na abiria









No comments:
Post a Comment