Thursday, November 15, 2012

WANANCHI WATEMBEA KWA MIGUU KISA USAFILI WA TRENI KUKWAMA MBEYA

Photo: Zaidi ya abiria 200 wamekwama katika stesheni ya Shirika la Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) Jijini Mbeya, kufuatia mgomo wa wafanyakazi wa shirika hilo uliosababisha Treni ya abiria kutoka Dar es Salaam kwenda Kaprimposhi nchini Zambia kushindwa kufanya safari zake.

Picha :Full Shangwe Blog
 Zaidi ya abiria 200 wamekwama katika stesheni ya Shirika la Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) Jijini Mbeya, kufuatia mgomo wa wafanyakazi wa shirika hilo uliosababisha Treni ya abiria kutoka Dar es Salaam kwenda Kaprimposhi nchini Zambia kushindwa kufanya safari zake.
 picha ITV PAGE

No comments:

Post a Comment