![]() |
Rais Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akiagana na Rais John Dramani Mahama wa Ghana nyumbani kwake jijini Accra jana Agosti 11, 2012 baada ya kumtembelea na kumpa pole ya msiba wa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Marehemu John Evans Atta Mills aliyezikwa juzi.![]() Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Rais John Dramani kumpa pole ya msiba wa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Marehemu John Evans Atta Mahama wa Ghana nyumbani kwake jijini Accra jana Agosti 11, 2012 wakati alipomtembelea kiongozi huyo mpya wa Ghana |
Sunday, August 12, 2012
RAIS KIKWETE AONANA NA RAIS MPYA WA GHANA, ATEMBELEA MASHAMBA YA MANANASI
Labels:
matukio
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment