

![]() |
MWILI WA DAUDI MWANGOSI |
Waziri wa Fedha Dk William Mgimwa
--
WIZARA YA
FEDHA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHE.DKT.WILLIAM AUGUSTAO
MGIMWA(MB)AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA
YA FEDHA KWA MWAKA 2012/13
UTANGULIZI
Mheshimiwa Spika,
kufuatia taarifa iliyowasilishwa hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati
ya Kudumu ya Bunge ya Fedha na Uchumi, naomba kutoa hoja kwamba Bunge
lako Tukufu likubali kupokea, kujadili na kupitisha Makadirio ya Mapato,
Matumizi ya Kawaida na ya Maendeleo ya Wizara ya Fedha kwa mwaka wa
fedha 2012/13.
Mheshimiwa Spika, awali ya yote napenda
kutumia fursa hii kutoa pongezi zangu za dhati kwako pamoja na Naibu
Spika Mheshimiwa Job Yustino Ndugai, Mbunge wa Kongwa, Waheshimiwa
Wenyeviti Jenista Joakim Mhagama (Mbunge wa Peramiho), Sylivester
Massele Mabumba (Mbunge wa Dole) na Mussa Azzan Zungu (Mbunge wa Ilala),
kwa kuongoza vema majadiliano ya Bunge la Bajeti.
Mheshimiwa Spika, naomba nitumie
nafasi hii kuishukuru kwa namna ya pekee Kamati ya Fedha na Uchumi
chini ya Mwenyekiti wake Mheshimiwa Mtemi Andrew John Chenge, Mbunge wa
Jimbo la Bariadi Mashariki kwa maoni, ushauri na mapendekezo waliyoyatoa
kwa Wizara wakati wa kuchambua mapendekezo ya Bajeti ya Wizara ya
Fedha. Wizara imezingatia ushauri na mapendekezo ya Kamati katika
kukamilisha uandaaji wa hotuba hii.
Mheshimiwa Spika, napenda
pia kutumia fursa hii kuwashukuru Naibu Mawaziri, Mheshimiwa Janet
Z.Mbene (Mb), na Mheshimiwa Saada M. Salum(Mb) pamoja na Katibu Mkuu
Ndugu Ramadhan M. Khijjah na Manaibu wake Ndugu Laston T.Msongole,Dkt.
Servacius B.Likwelile na Ndugu Elizabeth J. Nyambibo kwa kazi kubwa
wanayoifanya ya kusimamia utekelezaji wa majukumu ya Wizara. Aidha,
nawashukuru Wakuu wa Idara na Vitengo, Wakuu wa Taasisi na Wakala wa
Serikali, chini ya Wizara na wafanyakazi wote wa Wizara ya Fedha kwa
kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi .
|
![]() |
Official Opposition Camp Head and CHADEMA Chairman, Freeman Mbowe.
The Official Opposition Camp
Leader, Mr Freeman Aikaeli Mbowe wanted to know from the Prime Minister
in a session of ‘Questions to the PM’ this morning, why the government
decided to ban Mwana Halisi while in recent days (government) has been
using court in all cases about it.
Mbowe asked if the government
does not know that it shows the signs of bad governance for passing
judgment about Mwana Halisi without involving the important governmental
pillar, Judiciary.
“Hon Prime Minister, don’t you
think that the government shows a bad sign to the growth of good
governance in the country after banning Mwana Halisi?” asked Mbowe
Responding to the question,
Prime Minister said the government uses Newspaper Act of 1976 because it
is the only law which supervises print media industry and is still in
use up to now.
“We use it because it was approved by this Assembly and is still in use. I think the decision taken was right.”
For a long time media
stakeholders have been criticizing the government for embracing the laws
such as Newspaper Act of 1976 (investing much power to the Minister)
which hinder media freedom especially to investigative stories in the
country.
|