Wednesday, November 7, 2012

Hatua kwa hatua jinsi uchaguzi ulivyofanyika wa MAREKANI MATUKIO KATIKA PICHA

None
 Vilikuwa vibwanga  mtaani, hii picha inaonyesha jinsi gani ubunifu wakati wa kupiga kura
None
 Huu mduara wa kupiga kura, watu wakiwa wavumilivu kusubili wakati wao, ingekuwa wabongo we akuna angekubali foleni kama hizi ni kwenye ATM HASWA ZA NMB MWISHO WA MWEZI BONGO
None  
 Zoezi likiendelea la kutumia haki yako vizuri
None
 Kibandiko kikionyesha ya kuwa "nimepiga kura"
None
 Makamu wa mpinzani wa Obama
None  
  Wadau wa Mr. Romney wakiwa wanasubilia matokeo kwa hamu kubwa. kwenye vombo vya habari
None
 Hapa matokeo yakiwa yametangazwa ya kuwa BARAK OBAMA NDO anaendelea na Ngwe ya kuongoza Marekani
None
 Hii picha ikionyesha THE WINNER BARAK OBAMA ( MSHINDI NI BARAK OBAMA)
None

None
  Hapa ni shagwe kwenda mbele
None Watu wakiwa katika furaha iliyopiliza.... mabango ya Obama yakiwa hewani
None
None  
None

None

None

None
 Bwana Romney akiwa katika hali ya furaha ya kizushi, ila amekubali kushidwa, kuweka maslai yaMarekani
None
Ilikuwa furaha ya ajabu kwa Wamarekani kwa ushindi wao wa kubwaga mpinzani wao Romney
None
Hapa ndo uongozi Mzima wa MAREKANI ukisherekea na Wapenzi wao wa kweli
Source http://www.usatoday.com/

No comments:

Post a Comment