![]() |
| Mwili wa Sharo Millionea |
Taarifa kuhusu kifo cha Msanii wa maigizo na Mziki wa Bongo fleva kufariki zimasamba nchi nzima masaa machache yaliopita.
Kwa mujibu wa Sam Misago.Com ni kwamba amepata uthibitisho kutoka kwa diwani Makame Seif ambaye ni rafiki yake wa karibu sana wa Marehemu Hussen Ramadhani Mkiete maarufu kama Sharo Millionea amepata ajali mida ya saa mbili eneo la maguzoni Tanga na amefariki dunia papo hapo. Polisi wametambua ni Sharo Millionea kwa vitambulisho vyake na picha moja ya passport aliokuwa nayo mfukoni ambavyo kwa sasa viko na polisi.
Kwa mujibu wa Sam Misago.Com ni kwamba amepata uthibitisho kutoka kwa diwani Makame Seif ambaye ni rafiki yake wa karibu sana wa Marehemu Hussen Ramadhani Mkiete maarufu kama Sharo Millionea amepata ajali mida ya saa mbili eneo la maguzoni Tanga na amefariki dunia papo hapo. Polisi wametambua ni Sharo Millionea kwa vitambulisho vyake na picha moja ya passport aliokuwa nayo mfukoni ambavyo kwa sasa viko na polisi.
ATUPO NAE TENA KIPENZI CHA LIKA ZOTE, HASWA KWA KUTUONGEZEA USEMI WA "MEN"... KWA KILA NENO LAZIMA UWEKE "MEN" HATA KAMA ALITAKIWI, TULIKUPENDA SANA SHARO ILA MUNGU KAKUPENDA ZAID









No comments:
Post a Comment