Friday, December 7, 2012

USIYOYAJUA KUHUSIANA KANUMBA & SHARO


Msanii Sharo Millionea Hussein Mkiety Sharo Millionea amefariki miezi saba baada ya cha Steven Kanumba. Mshangao ni wote wlikuwa ni watoto wa mwisho na kiume pekee katika familia zao . Pia wamekufa wakipishana kidogo  kiumri, hawakuwahi kuoa au kuzaa mtoto na wamefariki kabla ya filamu walioigiza pamoja ya 'LOVE & POWER' haijatoka
THANK TO NIPASHE

No comments:

Post a Comment